Kitabu hiki kinaleta mwangaza kuhusu uzima wa Mungu
kama unajiulizaka kwa mfano; Mungu alianza-je, iko wapi , kwanini aonekanake, iko na rangi gani, ni muzuri ao ni mubaya?
Basi soma kitabu hiki utapata majibu
N.B: kuisoma maandiko haya kunaleta heri nyingi.
Connectez-vous pour laisser votre commentaire